Sunday, July 21, 2013

Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria mkutano wa Chedema, mkoani Shinyanga

Sehemu ya umati wa wananchi wa Shinyanga wakimsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe (hayupo pichani) akihutubia mkutano wa hadhara uliotanyika Uwanja wa Mahakama ya Mwanzo, Nguzo nane, Shinyanga mjini, juzi, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kukamilisha uzinduzi wa Kanda ya Ziwa Mashariki (Shinyanga, Mara na Simiyu)
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu