Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria mkutano wa Chedema, mkoani Shinyanga
Sehemu
ya umati wa wananchi wa Shinyanga wakimsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA
Taifa, Freeman Mbowe (hayupo pichani) akihutubia mkutano wa hadhara
uliotanyika Uwanja wa Mahakama ya Mwanzo, Nguzo nane, Shinyanga mjini,
juzi, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kukamilisha uzinduzi wa Kanda ya
Ziwa Mashariki (Shinyanga, Mara na Simiyu)
0 comments:
Post a Comment