HABARI
zilizotufikia kutoka mjini Mtwara Zinasema kuwa Gari lililobeba Shehena
ya Mabomba ya Kusafirishia gesi kutoka Mjini Mtwara kuelekea Dar
limeshambuliwa na mawe na kupelekea dereva wa lori hilo Kujeruhiwa
vibaya.
Lori
hilo lilianza kushambuliwa mara baada ya kuingia katika Manispaa ya
Mikinda Mtwara Mjini sababu ya kushambulia gari hilo ni
katika kile kinacho dhihir
0 comments:
Post a Comment