Home
»Unlabelled
» MWANAFUZI ANATAFUTWA NA DUGU ZAKE AMEPOTEA
MWANAFUZI ANATAFUTWA NA DUGU ZAKE AMEPOTEA
Pichani
ni Mather Joseph mwenye umri wa mika 16. ni mwanfunzi wa Chuo cha ufundi
cha Santer Peter Parish aliondoka nyumbani akielekea shuleni huko
oysterbay akiwa amevalia ngua za shule sketi ya damu ya mzee na shati
jeupe (uniform)
Tangu siku hiyo hajaonekana wala hatuna taarifa zozote
tumemtafuta katika Hospitali zote za jijini Dar es Salaam, ikwemo
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Mwananyamala,Amana na kwingineko lakini
bado hatujafanikiwa kumpata.
Pia taarifa hizi zimeripotiwa katika kituo cha Polisi cha
kigamboni ,kwa arb namba ,KGD/RB 5017/2013 kwa yeyote atakaye muona atoe
tarifa katika kituo chochote kilicho[po karibu naye.
Nyumbani
kwao ni Kigamboni kota za Jeshi la Wanamaji Kigamboni, Kabila lake ni
msukuma.kwa mawasiliano zaidi wasiliana na 0718 038128.
.
0 comments:
Post a Comment