Monday, July 1, 2013

OBAMA ATUA DAR ES SALAAM, SHUGULI ZA KUONGOZA NDEGE ZAFANYWA NA WAMAREKANI WENYEYE



OBAMA ATUA DAR ES SALAAM, SHUGULI ZA KUONGOZA NDEGE ZAFANYWA NA WAMAREKANI WENYEYE


 Helikopta ya Polisi ikiwa katika doria ya hapa na pale, hata hivyo eneo lote la uwanja wa Ndege ulidhibitiwa na Wamarekani wenyewe ikiwemo na kazi ya kuongoza ndege.  (Picha na Habari Mseto Blog)
Ulinzi kila kona
 Rais Barack Obama wa Marekani akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Rais Barack Obama wa Marekani akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais Barack Obama wa Marekani akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais Barack Obama wa Marekani akikagua gwaride la heshima wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
 Rais Baracka Obama akiwapungia wakiangalia vikundi vya ngoma.
 Ulinzi ulimarishwa.
 Bendera ya Tanzania ikiwekwa katika gari lililombeba Rais wa Marekani, Barack Obama.
Gari alilopanda Rais Obama
 Rais Barack Obama akishuka katika ndege iliyomleta huku akifuatana na familia yake.
Rais Obama na mkewe wakipokea maua
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu