IMEWEKWA JULAI 31, 2013 SAA 12:03 JIONIMshambuliaji
wa zamani wa Pamba FC ya Mwanza, Betram Mombeki (kulia) aliyekuwa
Marekani kwa muda mrefu, akisaini Mkataba wa miaka miwili kuichezea
SImba SC leo, baada ya kuvutia katika majaribio. Kulia ni Kaimu Makamu
Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph Itang'are 'Kinesi'. |
0 comments:
Post a Comment