Tuesday, July 9, 2013

Stakishali wanyakua Diwani Bonnah Cup

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akikabidhi kombe kwa nahodha wa timu ya Stakishali waliokuwa mabingwa katika fainali ya Diwani Bonnah Cup iliyochezwa jana. Katikati ni Diwani wa kata ya Kipawa Mh. Bonnah Kaluwa. Stakishali waliokuwa mabingwa walipata shs laki tano pamoja na kombe.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu