Home
»Unlabelled
» Stakishali wanyakua Diwani Bonnah Cup
Stakishali wanyakua Diwani Bonnah Cup
|
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akikabidhi kombe kwa nahodha wa timu ya Stakishali waliokuwa mabingwa katika fainali ya Diwani Bonnah Cup iliyochezwa jana. Katikati ni Diwani wa kata ya Kipawa Mh. Bonnah Kaluwa. Stakishali waliokuwa mabingwa walipata shs laki tano pamoja na kombe. |
0 comments:
Post a Comment