Timu ya Taifa Stars imefungwa na timu ya Uganda Creans kwaq mabao matatu kwa moja 3-1 katika mchezo wa leo uliochezwa katika uwanja wa Nambole nchini Uganda jumla ya magoli manne 4-1 Taifa Stars imeshindwa kufunzu kucheza faina itayofanyika Afrika ya kusini mwakani
Home »Unlabelled » STARS IMEFUNGWA JUMLA YA MAGOLI 4-1 NA KUTOLEWA KWENYE MASHINDANO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment