kazini JK
Bango lajieleza
Uzalendo kwanza
Nnape Nnauye akiwa na wadau
JK akitete jambo na Eric Shigongo, mwandaaji wa Tamasha la Matumaini
Wagunge wapenzi wa Simba wakipiga jalamba
Profesa Maji Marefu akiongoza wabunge wapenzi wa Simba
Wabunge wapenzi wa Simba
Mwigulu Mchemba na skafu yake akiwa na wabunge wapenzi wa Yanga
Halima Mdee (kati mbele, bukta nyeusi) akiongoza kikosi cha wabunge wapenzi wa Yanga
Kikosi kazi cha wabunge wapenzi wa Yanga
Da' Asha Baraka akiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo (BMT) Dionis Malinzi
Mwandaaji wa Tamasha la Matumaini akisema machache
Millard Ayo wa Clouds FM akirusha vitu live
Wapiganaji wakila mzigo
Wapiganaji kazini
Wapiganaji wakishuhudia
Wapiganaji wakirekodi matukio
JK akifungua rasmi Tamasha la Matumaini
JK akiwaasa Watanzania wasidanganyike na watu wanaotaka kuwatenganisha
Hatudanganyiki....
JK
akilisifia Tamasha la Matumaini kuwa ni moja ya majibu ya wanaotaka
kutenganisha Watanzania kwa misingi ya kikabila ama kidini
JK akijiandaa kupiga filimbi kuanzisha mechi ya wabunge wpenzi wa Yanga na Simba
JK akiwa refarii akihesabu wachezaji kabla ya kuanzisha mechi
JK akiaga baada ya kuanzisha mpambano huo
JK akikaribishwa na mwandaaji Eric Shigongo. Kati ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara
JK
akiingia uwanja wa Taifa akiongozana na Waziri wa Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara na Eric Shigongo
JK akiwa meza kuu
Meza kuu
Mwandaaji wa tamasha Eric Shigongo akiongea machache
JK akimpongeza Eric Shigongo kwa hotuba nzuri
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akimkaribisha JK kutoa hotuba yake
Tamasha la Matumani Oye!
JK akiongea na kadamnasi kwenye tamasha hilo katika hotuba iliyorushwa moja kwa moja na TBC
TUSIDANGANYIKE...
JK akiongea na kadamnasi
"Tamasha hili ni majibu kwa wanaotuta
0 comments:
Post a Comment