Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Mtwara kutoka (kulia) ni, Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Mtwara Mjini, Ismaili Njalu. Katibu wa Wilaya ya Mtwara mjini, Said Kulanga na Mwenyekiti wa Wilaya ya Mtwara mjini, Salum Mohamed wakiwaonyesha waandishi wa habari majelaha inayodaiwa waliyapata baada ya kupigwa na Wanajeshi wa (JWTZ) wakati wa vurugu za mtwara picha wakiwa katika ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Dar es Salaam
Home »Unlabelled » WANAODAIWA KUWA WAMEPIGWA NA WANAJESHI KATIKA VURUGU ZA MTWARA
Saturday, July 20, 2013
WANAODAIWA KUWA WAMEPIGWA NA WANAJESHI KATIKA VURUGU ZA MTWARA
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Mtwara kutoka (kulia) ni, Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Mtwara Mjini, Ismaili Njalu. Katibu wa Wilaya ya Mtwara mjini, Said Kulanga na Mwenyekiti wa Wilaya ya Mtwara mjini, Salum Mohamed wakiwaonyesha waandishi wa habari majelaha inayodaiwa waliyapata baada ya kupigwa na Wanajeshi wa (JWTZ) wakati wa vurugu za mtwara picha wakiwa katika ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Dar es Salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment