Home
»Unlabelled
» Wawakilishi wa Benki ya Dunia na Timu ya Mradi wa Kuendeleza Miji Tanzania (TSCP)
Wawakilishi wa Benki ya Dunia na Timu ya Mradi wa Kuendeleza Miji Tanzania (TSCP)
|
Wawakilishi wa Benki ya Dunia na Timu ya Mradi wa Kuendeleza Miji
Tanzania (TSCP) ulio chini ya OWM-TAMISEMI, wakikagua ujenzi wa Mifereji jijini
Mwanza wakati walipokuwa na ziara ya kutembelea miradi hio na kuona maendeleo
yake.
|
|
Standi mpya ya Mabasi ya Dala dala
iliyopo katikati ya mji wa Kigoma, Ni moja kati ya matunda ya Mradi wa
Kuendeleza Miji hapa nchini (TSCP) chini
ya OWM-TAMISEMI.
|
|
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili kulia), Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI,
Hawa Ghasia (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Benki ya Dunia – Tanzania, Philippe
Dongier (kulia), pamoja na Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Miji (OWM-TAMISEMI),
Anna Mtani (kushoto) katika tukio la Uzinduzi wa mradi wa kuboresha Miji wa
ULGSP, mradi uliozaliwa na mradi Mkakati wa Undelezaji Miji (TSCP) chini ya
OWM-TAMISEMI kwa mkopo wa Banki ya Dunia |
|
Ujenzi wa Dampo Jijini Arusha, wa TSCP, mradi chini ya
OWM-TAMISEMI, ukikaguliwa na wawakilishi wa Banki ya Dunia na timu ya TSCP.
|
0 comments:
Post a Comment