Thursday, July 18, 2013

Wawakilishi wa Benki ya Dunia na Timu ya Mradi wa Kuendeleza Miji Tanzania (TSCP)

Wawakilishi wa Benki ya Dunia na Timu ya Mradi wa Kuendeleza Miji Tanzania (TSCP) ulio chini ya OWM-TAMISEMI, wakikagua ujenzi wa Mifereji jijini Mwanza wakati walipokuwa na ziara ya kutembelea miradi hio na kuona maendeleo yake.
 
Standi mpya ya Mabasi ya Dala dala iliyopo katikati ya mji wa Kigoma, Ni moja kati ya matunda ya Mradi wa Kuendeleza Miji hapa nchini  (TSCP) chini ya OWM-TAMISEMI. 
 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili kulia), Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Hawa Ghasia (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Benki ya Dunia – Tanzania, Philippe Dongier (kulia), pamoja na Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Miji (OWM-TAMISEMI), Anna Mtani (kushoto) katika tukio la Uzinduzi wa mradi wa kuboresha Miji wa ULGSP, mradi uliozaliwa na mradi Mkakati wa Undelezaji Miji (TSCP) chini ya OWM-TAMISEMI kwa mkopo wa Banki ya Dunia

Ujenzi wa Dampo Jijini Arusha, wa TSCP, mradi chini ya OWM-TAMISEMI, ukikaguliwa na wawakilishi wa Banki ya Dunia na timu ya TSCP.


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu