Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara , Joyce Mapunjo wakiweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko katika kijiji cha Mkenda wialyani Songea Vijijini Julai 19, 2013. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Thabit Mwambungu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wananchi wa Songea Vijijini wakicheza ngoma ya Lizombe wakti Waziri Mkuu,Mizengo Pinda alipoweka jiwe la Msingi la ujenzi wa soko na kuhutubia wananchi katika kijiji cha Mkenda akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 19,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment