MTOTO WA MIAKA 7 ACHOMWA MOTO MIKONO NA MAMA YAKE MZAZI KISA ADAI ALIIBA MAYAI YA KUKU
Mama mzazi wa mtoto aliyechomwa moto ELESIA MWASILE[41] akipelekwa kituoni na wanausalama |
Hapa wanausalama na mama mzazi wa mtoto huyo wakielekea kumwona mtoto huyo katika hospitali ya Rufaa Mbeya |
Baada
ya kukamatwa mama huyo katili alkabidhiwa kwa Dawati la Polisi Jinsia
na watoto chini ya Kiongozi wa Wilaya D\SSGT PUDENSIANA BAITU akimjulia
hali mtoto Emilly NBEYA YETU BLOG |
0 comments:
Post a Comment