Home
»Unlabelled
» MATUKIO
MATUKIO
Mkurugenzi Msaidizi na Meneja Masoko, wa Kampuni ya Sheria Ngowi, Deogratius Kessy kushoto, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mbunifu wa Tanzania kualikwa kuhudhuria mashindano ya, New York Shashion week Show yatakayofanyika Nchini Marekani kulia ni, Ofisa Mahusiano wa kampuni hiyo, Julia Makundi.
0 comments:
Post a Comment