Monday, September 2, 2013

MWANAFUZI ALIESHINDA NA KUONGOZA TOKA DARASA LA KWANZA HADI LA SABA

Mwanafunzi Zainab Aboubakary Mlawa wa shule ya msingi St Magreth iliyopo kimara jijini Dar essalaam akiwa na vyeti vyake  alivyotunukiwa katika mahafali ya darasa la saba  baada ya kufauru katika masomo yote toka alipoanza darasa la kwanza katika shule hiyo mpaka alipofika darasa  la saba na kutunukiwa vyeti vya  nafasi za kwanza kwa kila darasa anapoingia anafanya vizuri na kuongoza masomo yote toka alipoanza darasa la kwanza mpaka anamaliza la saba.
 

Baba mzazi wa mwanafunzi Zainab,  Aboubakary Mlawa  akilimsha keki mtoto wake mpendwa  mara baada ya kunukiwa vyeti katika mahafali ya kumalizika darasa la saba mtoto zainab  ambayo alipata zawadi zote za kitaaluma na nidhamu kwa wanafunzi wote wa darasa la saba toka alipoanza shule miaka saba iliyopita


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu