Home
»Unlabelled
» MWANAFUZI ALIESHINDA NA KUONGOZA TOKA DARASA LA KWANZA HADI LA SABA
MWANAFUZI ALIESHINDA NA KUONGOZA TOKA DARASA LA KWANZA HADI LA SABA
|
Mwanafunzi Zainab Aboubakary Mlawa wa shule ya msingi St Magreth iliyopo kimara jijini Dar essalaam akiwa na vyeti vyake alivyotunukiwa katika mahafali ya darasa la saba baada ya kufauru katika masomo yote toka alipoanza darasa la kwanza katika shule hiyo mpaka alipofika darasa la saba na kutunukiwa vyeti vya nafasi za kwanza kwa kila darasa anapoingia anafanya vizuri na kuongoza masomo yote toka alipoanza darasa la kwanza mpaka anamaliza la saba. |
|
Baba mzazi wa mwanafunzi Zainab, Aboubakary Mlawa akilimsha keki mtoto wake mpendwa mara baada ya kunukiwa vyeti katika mahafali ya kumalizika darasa la saba mtoto zainab ambayo alipata zawadi zote za kitaaluma na nidhamu kwa wanafunzi wote wa darasa la saba toka alipoanza shule miaka saba iliyopita |
0 comments:
Post a Comment