Viongozi wa vyama vya siasa wa kitaifa kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa chama cha NCCR MAGEUZI ,James Mbati ,mwenyekiti wa taifa wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mwenyekiti wa chama cha CUF Profesa Ibrahim Lipumba wakiwa na Mwenyekiti wa jukwaa la katiba Deus Kibamba mara baada ya mkutano wao kwa pamoja uliofanyika kwenye ofisi za jukwaa la katika katika namna ya kufanya majadiliano ya pamoja ili kupinga mchakato wa rasim mpya ya katiba ili kuanzimia viongozi hao wamesema watafanya ziara ya kutembelea taasisi kadhaa ili kupeleka ujumbe wao kwa pamoja katika kuunga mkono ukiukwaji rasmu hiyo mkutano huo ulifanyika leo
|
Picha ya pamoja na viongozi mbali mbali pamoja na taasisi zinatete haki za binadamu |
|
mwenyekiti wa taifa wa chadema Freeman Mbowe akiagana na mwenyekiti awa jukwaa la katibaDeus kibamba |
|
profesa ibrahim lipumba na freeman mbowe |
|
wakiashiria umoja wao udumu |
0 comments:
Post a Comment