Home
»Unlabelled
» RAIS JKAYA AKIWA NA MARAIS
RAIS JKAYA AKIWA NA MARAIS
|
Baadhi ya viongozi wan chi za jumuiya ya Maziwa Makuu
wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Mkutano wa wakuu wa nchi hizo
uliofanyika jijini Kampala Uganda leo.Kutoka kushoto ni Rais Salva Kiir wa
Sudani ya Kusini,Rais Joseph Kabila wa DRC,Rais Dkt.Jakaya Kikwete,Rais Yoweri
Museveni wa Uganda,Mwenyekiti wa kamisheni ya Umoja wa Afrika Dkt.Nkosazana
Dlamini Zuma na Rais Paul Kagame wa Rwanda. |
|
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika
mazungumzo na Marais Paul Kagame wa Rwanda(kushoto), Rais Salva Kiir wa Sudan
ya kusini na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda(picha na Freddy Maro) |
0 comments:
Post a Comment