Saturday, April 19, 2014

MATUKIO YA SHEREHE YA MUUNGANO KUTIMIZA MIAKA 50

Banda la offisi za bunge wakionyesha  maswala mbalimbali yanayohusu ofisi hizo wakati wa maonyesho ya muungano kutimiza miaka 50

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI ALI HASSANI MWNYI AKITEMBELEA MABANDA MBALIMBALI WAKATI WA MAONYESHO YA  MUUNGANO KUTIMIZA MIAKA 50 MABANDA HAYO NI YALE YA IDARA ZA MUUNGANO

RAIS MSTAAFU WA awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa stafu wa ofisi hiyo Devotha Chaggaka ya vitabu vya katiba ya Tanzania na ya zanzibar pamoja na vipeperushi wakati alipotembela banda la offisi za bunge kwenye viwanja vya mnazimmoja

picha ya sanamu ya askari wa zamani kabla ya uhuru WAKATI HUO NI JESHI POLISI LA AFRIKA YA MASHARIKI



BAADHI YA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAKIANGALIA SANAMU YA PICHA YA POLISI WA KIKE WAKATI WA MAONYESHO YA MUUNGANO BANDA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI 

RAIS MSTAAFU ALI HASSANI MWINYI AKIMSIKILIZA AFISA WA OFISI YA BUNGE PATSON SOBHA WAKATI AKITOA MAEL;EZO KUHUSU OFISI ZA BUNGE NA UTENDAJI WAKEWAKATI ALIPOTEMBELEA BANDA HILO LILIYOPO KATIKA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA WAKATI WA MAONYESHO YA MUUNGANO KUTIMIZA MIAKA 50

HALI HALISI YA BARABARA NYINGI HAPA NCHI  MIUNDOMBINU YAKE IMEHARIBIKA PICHA INAONYESHA BARABARA YA UHURU KARIBU NA MAKUTANO YA MSIMBAzi KAMA UNAELEKEA BUGURUNI KUHARIBIKAZAIDIKAMA PICHA  HII INAVYONYESHA BAADHI YA MAGARI KUKWEPA MASHIMO

AFISA MAWASILIANO FOCUS MAUKI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI AKIWAELEZA WATU MBALIMBALI WALIOFIKA  KATIKA BANDA HILO KUTAKA KUJUA SHUGHULI ZAO ZINAKWENDAJE KATIKA MUUNGANO WA KATI YA ZANZIBAR NA HUKU BARA KATIKA USHIRIKIANO WA BANDARI PIA AKITOA MAELEZO HAYO PIA WANANCHI HAO WALIKUWA WANATAKA KUFAHAMU MNASEMA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI KIVIPI YAANI VITU VYOTE VILIVYOMO KATIKA BANDARI NDIO MNASIMAMIA  NA VILE VILIVYOMO KANDOKANDO YA BAHARI  JE INAKUWAJE WALIULIZA WAKAZI HAO WALIOFIKA KATIKA BANDA HILO AFISA HUYO ALIWAFAHAMISHA NA KUWAFAFANULIA 
HILI NDIO JIJI LA DAR ES SALAAM NI MOJA YA MAKUTANO YA BARABARA YA MSIMBAZI NA UHURU  KATIKA MIAKA 50 YA MUUNGANO  HATA JIJI NALO LAZIMA LIPENDEZE



PICHA HIZI NI BAADHI YA mawaziri waliowahi kuwa mawaziri wa mambo ya ndani toka ulipopatikana uhuru mwaka 1961 mpaka leo 2014 wameshapita mawaziri wapatao 23 ni moja ya wizara ya muungano

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu