Home
»Unlabelled
» michuano mbambali ya mei mosi mjini morogoro
michuano mbambali ya mei mosi mjini morogoro
|
Mwakilishi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha
Arusha (AICC), Rutunda Boniface (wa pili kushoto) akiwa katika mstari tayari
kwa ajili ya kuanza mbio za baiskeli za Kilomita 15 katika michezo ya Mei Mosi
inayoendelea mjini Moorogoro. (Picha na Rodney Thadeus wa AICC).
|
|
Rashid Habib Rashid wa Kituo cha Kimataifa cha
Mikutano cha Arusha (AICC) kushoto akipambana na mpinzani wake kutoka Ofisi ya
Rais katika mchezo wa karata, ikiwa ni sehemu ya michezo ya Mei Mosi
inayoendelea mjini Moorogoro. (Picha na Rodney Thadeus wa AICC).
|
0 comments:
Post a Comment