Thursday, April 17, 2014

SAME WAMSIMIKA KAIRUKI KUWA KAMANDA WAO


Katibu mkuu wa Umoja wa Vijana UVCCM  Sixtus Mapunda, akimsimika Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, kuwa Kamanda wa  Vijana wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.
Katibu mkuu wa umoja wa Vijana UVCCM, Sixtus Mapunda  akimsomea , Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki kiapo cha ukamanda.
Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, akila kiapo cha kusimikwa kuwa kamanda wa umoja wa vijana UVCCM wilaya  ya Same.
Naibu waziri wa Sheria na Katiba  Angellah Kairuki  akizindua Shina la wakereketwa wa umoja wa Vijana Uvccm, baada ya  kusimikwa kuwa kamanda wa umoja huo wilayani Same.
Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki akiwa  kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  viongozi wa timu za mpira, baada  ya kuwakabidhi vifaa vya michezo, kama njia ya kuwaunganisha vijana
pamoja. Picha zote na Fadhili Athumani
--

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu