Jeshi la polisi Wilayani kinondoni mkoani Dar es salaam limesema kuwa limekamata viungo vya mbalimbali rambovya Binadamu vilivyohifadhiwa katika mifuko ya plastiki maarufu kama mifuko ya rambo katika eneo la machimbo ya kokoto yaliyopo Bunju nje ya jiji la Dar es salaam
kamanda wa polisi wa kinondoni amethibitisha tukio hilo na na kusema viungo hivyo vimepelekwa katika kituo cha polisi kilichopo Bunju habari zaidi tutawaletea na blog hii
kamanda wa polisi wa kinondoni amethibitisha tukio hilo na na kusema viungo hivyo vimepelekwa katika kituo cha polisi kilichopo Bunju habari zaidi tutawaletea na blog hii
0 comments:
Post a Comment