Wednesday, August 20, 2014

WAFANYABIASHARA WAGOMA JIJINI MWANZA LEO

picha ni mmoja ya mitaa mikubwa haina jhuduma za maduka


baadhi ya barabara kadhaa za jiji la mwanza yakionekana maduka kufungwaWafanyabiashara wa  jiji hilo kwa madai ya kuonewa na kupinga unyanyasaji na kodi za mara kwa mara kwa wafanyabiashara ambao kuitisha mgomo wao  ambao maafisa wa kodi wanafanya mabo ambayo yamekithiri katika  jijini humo  jiji hilo la mwanza leo limezizima kwa wananchi kukosa mahitaji muhimu  jiji hilo mara kwa mara hutokea migomo ya mara nyingi hususani kwa maafisa wa kodi na unyanyasi wa halmashauri

baadhi ya mitaa  ikiwa maduka yamefungwa leo


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu