Hayawi hayawi yamekuwa: Bwana
harusi RenatusMalulu akimvisha pente ya ndoa mkewe Imeresiana Charles wakati wa ibada ya ndoa yao iliyofanyika katika kanisa katoliki
laMtakatifu Mashahidi wa Uganda la Magomeni jijini Dar es Salaam,
nakufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi center. |
0 comments:
Post a Comment