Naibu
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu
(katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Crescentius Magori (kulia) na Meneja Idara za Serikali na Balozi NSSF,
Rehema Chuma wakiwasili kwenye ukumbi wa mikutano wakati wa semina ya wadau wa
Kada ya Utumishi wa Idara na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF mjini
Bagamoyo.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori
akitoa akifafanua jambo wakati wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara na
Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF na kufanyika mjini Bagamoyo, mwishoni
mwa wiki. Wa pili kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, Meneja
wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma na
Meneja wa NSSF Mkoa wa Kibaha, Ummy Lweno.
Naibu
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu akitoa
hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara
na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF) na kufanyika mjini Bagamoyo.
Meneja
wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma akizungumza katika semina hiyo.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya
Jamii (NSSF), Crescentius Magori akitoa
mada wakati wa semina ya wadau
wa Kada ya Utumishi wa Idara na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF na
kufanyika mjini Bagamoyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Washiriki wa semina wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwakilishwa.
Wadau wa NSSF wakiwa katika mkutano huo.
Maofisa wa NSSF wakiwa katika mkutano huo.
Maofisa wa NSSF wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa.
Meneja
wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala, Chiku Matesa.
Mgeni Naibu
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa semina hiyo.
0 comments:
Post a Comment