Monday, November 24, 2014


Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (kulia) na Meneja Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma wakiwasili kwenye ukumbi wa mikutano wakati wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF mjini Bagamoyo.


Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori  akitoa akifafanua jambo wakati wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF na kufanyika mjini Bagamoyo, mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, Meneja wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma  na Meneja wa NSSF Mkoa wa Kibaha, Ummy Lweno. 
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kufanyika mjini Bagamoyo.
 Meneja wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma akizungumza katika semina hiyo.
  Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori  akitoa mada wakati wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF na kufanyika mjini Bagamoyo.
 Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
 Washiriki wa semina wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwakilishwa.
 Wadau wa NSSF wakiwa katika mkutano huo.
 Maofisa wa NSSF wakiwa katika mkutano huo.
 Maofisa wa NSSF wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa.
Meneja wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala, Chiku Matesa.
 Mgeni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa semina hiyo.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu