Friday, November 21, 2014

WASHA YA WASANII


Nafasi Art Space kwa kushirikiana na Tunawea leo wameendesha Warsha ya siku mbili ya Sanaa na Harakati iliyowakutanisha baadhi ya Wasanii, Waandishi wa Wanaharakati nchini Tanzania ambapo Mpiga picha na Mwanaharakati Boniface Mwangi kutoka Kenya ndio mwezeshaji katika warsha hiyo
 Mpiga picha na Mwanaharakati Boniface Mwangi kutoka Kenya, akizungumza na washiriki wa warsha hiyo
 Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo wakifuatilia mada mbalimbali
 Mpiga picha na Mwanaharakati Boniface Mwangi kutoka Kenya, akizungumza na washiriki wa warsha hiyo
 Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo
Mwazilishi wa Change Tanzania, Maria Sarungi Tsehai akichangia mada wakati wa warsha ya Sanaa na Harakati iliyofanyika jijini Dar es Salaam

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu