Bwana Harusi Nelson Kessy akimvisha pete mkewe Regina Mollel katika harusi iliyo fanyika kanisa la Kristu Mfalme Tabata tarehe 29/11/ 2014 Jijini Dar es Salaam. |
Bibi Harusi Regina Mollel akimvisha pete mumewe Nelson Kessy katika harusi iliyo fanyika kanisa la Kristu Mfalme Tabata tarehe 29/11/ 2014 Jijini Dar es Salaam.
Bibi Harusi Regina Mollel akiwa katika pozi la picha na wapambe wake mara baada ya harusi.
Bwana na Bibi Nelson Kessy wakiwa katika pozi la picha
Maharusi wakiwa wanaingia ukumbini Rombo Green View Hotel ambapo ndipo tafrija ilipofanyikia.
Maharusi pamoja na wasimamizi wao wakifungua shampeni ukumbini
Maharusi wakikata keki
Maharusi wakilishana keki
Maharusi wakicheza mziki
Bwana na Bibi Kessy wakikata Ndafu
Bwana na Bibi Kessy wakilishana ndafu
Bwana Kessy akimlisha mkewe chakula.
0 comments:
Post a Comment