Home
»Unlabelled
» MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI LEO.
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI LEO.
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akifungua mkutano wa Biashara ya kilimo kwa Nchi za
Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena jijini Dar es salaam leo
|
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Msimamizi Mkuu wa SUGECO
CHAIR Dkt. Anna Temu alipotembelea mabanda ya maonesho ya Biashara ya kilimo
kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena jijini Dar es
salaam leo
|
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa afisa muendeshaji Mkuu wa kampuni
ya FARMEQUIP Rattan Singh alipotembelea maonesho ya Biashara ya kilimo kwa Nchi
za Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena jijini Dar es salaam leo |
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wakuu
wa makampuni ya Biashara ya nyenzo za kilimo, wakati wa mkutano wa
Biashara ya kilimo kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena
jijini Dar es salaam leo
(Picha na OMR)
|
0 comments:
Post a Comment