|
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Bank ya Covenate Balozi Salome sijaona akizindua nyumba ya Salome Mhando |
ambaye Alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfululizo hadi kufikia sita na kukosa mahapa pa kuishi na ndipo banki hiyo imemnunulia nyumba na kukabidhiwa
|
Mwenyekiti wa bodi ya banki ya Covenat Salome Sijaona akimkabidhi funguo bara baada ya uzinduzi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto hadi kufikai sita na kukosa mahala pa kuishi ndipo banki hiyo imemnunulia nyumba na kumkabidhi wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa banki hiyo Sabetha Mwambenja |
0 comments:
Post a Comment