Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa
masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akibadilishana mawazo na
mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko
mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana
Baadhi ya waandishi wa habari za michezo wakifatilia mafunzo hayo |
Waandishi wa habari wakipiga msosi wa mchana
Kocha wa Kimataifa wa mchezio wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila akisalimiana na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu ... (RT) na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi,
0 comments:
Post a Comment