Home
»Unlabelled
» RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERAL HASHIM MBITA
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERAL HASHIM MBITA
|
: Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika
kitabu cha maombolezo alipokwenda kuifariji
familia
ya Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita Temeke Chang'ombe jijini Dar
es salaam jioni ya leo April 27, 2015.
Marehemu
anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es
salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro,
baada
ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi yake katika makao makuu ya Jeshi
Upanga, Dar es salaam.
|
|
:
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia wakati Mama Salma Kikwete akiweka saini
katika kitabu cha
maombolezo
alipokwenda kuifariji familia ya Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita
Temeke Chang'ombe jijini Dar es salaam jioni ya leo April 27, 2015.
Marehemu
anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es
salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro,
baada ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi
yake katika makao makuu ya Jeshi Upanga, Dar es salaam |
|
:
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma kikwete wakimsikiliza mtoto wa
Marehemu Bw. Iddi Mbita kuhusu taratibu za mazishi walipokwenda kuifariji
familia ya
Marehemu
Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita Temeke Chang'ombe jijini Dar es salaam
jioni ya leo April 27, 2015.
Marehemu
anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es
salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro,
baada ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi
yake katika makao makuu ya Jeshi Upanga, Dar es salaam |
|
Rais Kikwete akiondoka msibani
|
0 comments:
Post a Comment