Home
»Unlabelled
» YANGA KUONDOKA IJUMAA
YANGA KUONDOKA IJUMAA
|
kikoasi cha timu ya Dar Es Salaam Youngs African {{YANGA} ,itaondoka siku ya Ijumaa kwa ndege ya Serikali kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa marudiano wa kuwani kombe la shirikisho utakaofanyika nchini zimbabwe katika mchezo wa kwanza uliofanyika jijini Dar Es Salaam katika uwanja wa taifa yanga ilishinda kwa mabao 5-1 tunawaombea safari njema ushindi mzuri msibwete daima mbele nyuma mwiko |
0 comments:
Post a Comment