Tuesday, May 12, 2015

KOCHA WA SIMBA APEWA MASAA 24 KUONDOKA AU KUBAKI

klabu ya Simba imempa masaa 24 kocha wao ,goran kama anataka kubaki au kuondoka kwa mujibu wa mwenyekiti wa ,amati ya usajili Hans pop kutokana timu yao kufanya vibaya  mapato kiduchu pia klabu hiyo imeweafutia wachezaji 3 raia wa uganda pia
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu