CEO wa Makampuni ya MeTL
Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia)
katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi
walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya
kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku
tatu nchini Tanzania.
Home »Unlabelled »
Tuesday, May 19, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment