Home
»Unlabelled
» RAIS KIKWETE KATIKA SIKU YA PILI YA ZIARA YAKE RASMI ALGERIA
RAIS KIKWETE KATIKA SIKU YA PILI YA ZIARA YAKE RASMI ALGERIA
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akutana na kufanya mazungumzo
na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika
katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika
siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo. |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akutana na kufanya mazungumzo
na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika
katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika
siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo. |
|
b5
ba b6: Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na waandishi wa habari baada
ya kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria
katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika
siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.
|
|
b5
ba b6: Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na waandishi wa habari baada
ya kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria
katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika
siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.
|
|
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Rais wa Baraza la Nchi ya
Algeria Mhe. Abdulkhader Bensalah akiwasili katika ukumbi wa El-Mithak
Residency jijini Algiers kwa dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa na Rais wa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika katika
Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika siku ya
pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.
|
|
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa Baraza la Nchi ya Algeria Mhe.
Abdulkhader Bensalah na viongozi wengine wakipata picha ya kumbukumbu
na kikundi cha utamaduni katika ukumbi wa El-Mithak Residency jijini
Algiers baada ya dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika katika Ikulu ya nchi
hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara
yake rasmi ya siku tatu nchini humo.
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mabalozi wa nchi za Kiafrika
katika ukumbi wa El-Mithak Residency jijini Algiers baada ya dhifa ya
kitaifa aliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe.
Abdelaziz Bouteflika katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili
May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini
humo. |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelmalik Sellal katika kiunga cha Ikulu
ya nchi hiyo cha Zeralda Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya
ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa viongozi mbalimbali na
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelmalik Sellal
katika kiunga cha Ikulu ya nchi hiyo cha Zeralda Jumapili May 10,
2015 katika siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo
|
|
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia
ya Algeria Mhe. Abdelmalik Sellal katika kiunga cha Ikulu ya nchi hiyo
cha Zeralda Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara yake
rasmi ya siku tatu nchini humo.
PICHA NA IKULU
|
0 comments:
Post a Comment