Katibu
Mkuu wa CHADEMA, Dr. Wilibrod Slaa,
akiwasalimia wanachama, wapenzi, wafuasi na mashabiki wa chama hicho, wakati
akiwasili katika ofisi za wilaya za chama mjini Mpanda, mkoani Katavi akiwa katika
mwendelezo wa ziara yake maeneo mbalimbali ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi
ambako mbali ya kukagua zoezi la uandikishaji wa wapiga kura amekuwa
akihamasisha wananchi wenye sifa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwa ajili
ya kupiga kura Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu huku pia akikagua maandalizi
ya chama kinavyojipanga kuelekea uchaguzi huo.
|
0 comments:
Post a Comment