Home
»Unlabelled
» RAIS KIKWETE AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI WA NGAZI YA JUU KWA MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA LEO UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM
RAIS KIKWETE AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI WA NGAZI YA JUU KWA MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA LEO UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias
Chikawe na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja wakiwa
katika picha ya pamoja na Makamishna Wakuu wa Magereza Wastaafu. Kutoka
kulia ni Mhe. Augustine Nanyaro, Mhe. Nicas Pius Banzi, Kamishna
Generali Mkuu wa sasa John Minja, Rais Kikwete, Alhaj Jumanne Mangara,
Mzee John Mwanguku, na Kamishna wa Huduma za Urekebishaji Mstaafu Mama
Aziza Mursali sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa
Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la
Magereza Ukonga jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015 |
|
Rais Jakaya Mrisho kikwete akisalimiana na maafisa wanaoshughulikia
kitengo cha SACCOS cha Magereza kwenye banda la maonesho ya sherehe za
Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Jakaya Mrisho kikwete na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.
Mathias Chikawe na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja
wakifurahia samani katika banda la maonesho ya sherehe za Kufunga
Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza
katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam
leo Juni 27, 2015 |
|
Rais Jakaya Mrisho
kikwete na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja wakiwa na
Wakuu wa Jeshi la Magereza wa nchi za SADC na Kenya waliohudhuria
sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa
Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga
jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Jakaya Mrisho kikwete na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.
Mathias Chikawe na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja
wakiwa na wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa
Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga
jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Jakaya Mrisho kikwete na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.
Mathias Chikawe na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja
wakiwa na wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa
Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga
jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Jakaya Mrisho
kikwete akifunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa
Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga
jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe akipogea ithabati rasmi kwa ajili ya Chuo cha Mafunzo cha Ukonga kutoka kwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya ufundi(NACTE)Dkt. Adolf Rutayuga wakati wa sherehe
za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Kikwete akimkabidhi
Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja ithabati rasmi kwa
ajili ya Chuo cha Mafunzo cha Ukonga iliyotolewa na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya ufundi(NACTE)Dkt. Adolf Rutayuga wakati wa sherehe
za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Askari Magereza wa enzi za Mkoloni wakionesha ukakamavu wao mbele ya Rais Kikwete wakati wa sherehe
za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015 |
|
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akimvisha Cheo cha Mrakibu Msaidizi wa Megereza Amina Juma
Lidenge kwa niaba ya wahitimu wenzake 104 wakati wa sherehe
za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akimtunuku cheto Mwanafunzi Alyefanya Vizuri Katika Masomo ya
darasani Inspekta Saidi Jacob Seni wakati wa sherehe
za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la wahitimu 104 wakati wa sherehe
za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la wahitimu 104 wakati wa sherehe
za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la
Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar
es salaam leo Juni 27, 2015
|
0 comments:
Post a Comment