Posted by: Mahmoud Zubeiry
Posted date: 10/09/2015 11:53:00 AM
/
|
Wachezaji
wa Taifa Stars wakitremka kwenye ndege baada ya kuwasili Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, mjini Lilongwe, Malawi muda huu tayari kwa
safari ya barabara ya saa tatu kuelekea Blantyire kwa ajili ya mchezo
wa marudiano dhidi ya wenyeji Jumapili mchujo wa awali kuwania kupangwa
kwenye makundi ya kugombea tiketi ya Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.
Tanzania ilishinda 2-0 mchezo wa kwanza |
|
Sasa safari inaanza upyaa kwa saa tatu kuelekea Blantyre |
|
picha na habari zote na mtandao wa BINZUBERY LILONGWE |
0 comments:
Post a Comment