Friday, October 9, 2015

Wachezaji wa Taifa Stars wakitremka kwenye ndege baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, mjini Lilongwe, Malawi muda huu tayari kwa safari ya barabara ya saa tatu kuelekea Blantyire kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya wenyeji Jumapili mchujo wa awali kuwania kupangwa kwenye makundi ya kugombea tiketi ya Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi. Tanzania ilishinda 2-0 mchezo wa kwanza
Sasa safari inaanza upyaa kwa saa tatu kuelekea Blantyre
picha na habari  zote na mtandao wa BINZUBERY LILONGWE
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu