AELFU YA WAUMINI WA KIKRISTO WAHUDHURIA MISA INAYOENDESHWA NA PAPA FRANCIS MUDA HUU KATIKA VIWANJA VYA CHUO KIKUU CHA NAIROBI
Kiongozi
huyo wa Kanisa Katoliki duniani yupo nchini Kenya katika ziara ya siku
tatu aliyoainza jana, na akikamilisha ziara hiyo ataelekea nchini Uganda
na baadaye Jumuhuri ya Afrika ya Kati.
Mamia
ya wakenya wakiwa katika viwanja vya Central Park wakifuatilia kupitia
televisheni kubwa uwanjani hapo misa inayoendelea katika viwanja vya
Chuo Kikuu cha Nairobi, misa inayoendeshwa na Papa Francis asubuhi hii.Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiwa na mkewe katika misa inayoendelea sasa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Nairobi
Muongozaji wa kwaya akiwajibika
0 comments:
Post a Comment