Saturday, February 6, 2016

BREKING NEWZZZZZ ASKARI 3 WA JESHI LA POLISI WAMEFARIKI DUNIA NA WNGINE KUJERUHIWA

Askari 3 wa jeshi la Polisi wamefariki Dunia na wengine  wawili  wamejeruhiwa vibaya bado hali zao mbaya ajali hiyo imetokea wakati wakiwa katika msafara wakitokea Singida baada ya gari hilo lililokuwa nyuma ya msafara  liliopofika kwenye eneo Mukiwa  gari hilo lilipasuka tairi ya mbele na kuacha njia na  kupinduka kwa mujibu wa Breking News ya ITV  muda mfupi  ENDELEA  KUANGALI BLOG HII YA MZUKA TUTAWAPASHA ZAI 
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu