WAKAZI WA VIJIJI VYA MTANGA ,MPOKA MBWARA WAKIWA KATIKA MTUMBWI KUELEKEA MAENEO YAO WAKITOKEA MHORO
|
NYUMBA ZA KADHAA PAMOJA NA NYUMBA ZA WAGENI ZINAZONEKANA ZIMEJAA MAJI MHORO |
|
NYUMBA INAONEKANA IMEZINGIRWA NA MAFURIKO MHORO |
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO RUFIJI MAFURIKO KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA
|
MAGARI YAENDAYO KATIKA SEHEMU ZA KIPOKA,MTANGA, MBUCHI.,RUMA YAMEKWAMA KUTOKANA NA DARAJA LA MUHORO KUFUNIKWA NA MAFURIKO KWA MAGARI YANAISHIA KATIKA STENDI YAMHORO PAMOJA ABIRIA WANASHINDWA KUVUKWA KWA MITUMBWI |
|
MTUMBWI UKIWA NA ABIRIA WAKAAZI KUTOKA KATIKA VIJIJI MBALIMBALI WAKIVUKA |
MTUMBWI UKIWA NA WAKAZI WAKITOKA KWENYE VIJIJI
WAKIVUSHWA
|
BAADHI YA WANANCHI WAKIWA NA KILOBA CHA UNGA WAKIRIUDI |
|
HALI HALISI YA MAFURIKO ILIVYOKUBA NA MAJI O NA KUONA NYUMBA ZA WAKAAZI ZILIVYO ZAMA PICHA HIZI KWA HISANI SULTAN MBWERA WA MUHORO RUFIJI |
0 comments:
Post a Comment