Katibu mkuu chama cha wananchi CUF Maalim Seif shariff akiwa kwenye hospitali ya Hindumandali akizungumza wandishi wa habari kuelelzea maelndeleo ya Afya yake anasewma sasa iko safi na kama kuna mtu anapinga tufanye mbio kutoka hapa mpaka mwenge ntaza mie kufika akiwatania wandishi
akifafanua kuhusu jinsi alipopata maradhi hayo na kupelekea kulazwa hapa maalim anaeleza kuwa asbuhi alipotoka nyumbani alikwenda katika uwanja wa ndege kuelekea Dar es salaam lakini alipofika kwenye uwanja wa ndege wa zanzibar alijisikia kizunguzungu ndipo walipoona hivyo wasaididizi wangu waliona wanmilete moja kw2a moja mpaka hapa Hospitali
hapa
Nilipofika hapa nilifanyiwa uchunguzi wa afya yangu na kuona hamna kitu ila ni uchoovu nilihitajika kupumzika
Na dakitari wake Omar Suleiman aliwambia wandihi kuwa maalim aliporudi kutoka nje ya nchi alipokwenda kufanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo hali ilikuwa nzuri na alishauriwa apumzike kiidogo amerudi ijumaa jumamosi jumapili lakini ilipofika jumatatu mpaka asbhuhin yuko vizuri TUTAENDELEA KUWALETEA TYAARIFA ZAIDI ANGALIA MZUKA WA FUNGO
akifafanua kuhusu jinsi alipopata maradhi hayo na kupelekea kulazwa hapa maalim anaeleza kuwa asbuhi alipotoka nyumbani alikwenda katika uwanja wa ndege kuelekea Dar es salaam lakini alipofika kwenye uwanja wa ndege wa zanzibar alijisikia kizunguzungu ndipo walipoona hivyo wasaididizi wangu waliona wanmilete moja kw2a moja mpaka hapa Hospitali
hapa
Nilipofika hapa nilifanyiwa uchunguzi wa afya yangu na kuona hamna kitu ila ni uchoovu nilihitajika kupumzika
Na dakitari wake Omar Suleiman aliwambia wandihi kuwa maalim aliporudi kutoka nje ya nchi alipokwenda kufanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo hali ilikuwa nzuri na alishauriwa apumzike kiidogo amerudi ijumaa jumamosi jumapili lakini ilipofika jumatatu mpaka asbhuhin yuko vizuri TUTAENDELEA KUWALETEA TYAARIFA ZAIDI ANGALIA MZUKA WA FUNGO
0 comments:
Post a Comment