MKUU wa mkoa wa Shinyanga, Anna Kilango Malecela (pichani), amekuwa
muhanga wa kwanza wa ngazi ya ukuu wa mkoa, kufukuzwa kazi mapema na
Rais Dkt.John Pombe Magufuli, bàda ya kuutangazia umma kuwa mkoani kwake
hakuna watumishi hewa. Ikulu baada ya kusikia hivyo ikianzisha
uchunguzi wake na kugundua kuwa Mkuu huyo wa mkoa "alikurupuka", kwani
taarifa yake haikuwa ya kweli. Kufuatia mapungufu hayo, Leo April I 11,
2016, Rais Magufuli ametangaza kutengua uteuzi wake kama Mkuu wa mkoa.
Halikadhalika Katibu Tawala wa mkoa huo nae amefukuzwa kazi kwa kosa
hilohilo, na muchunguzi dhidi yao uneanzishwa.
Home »Unlabelled »
Monday, April 11, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment