Saturday, April 30, 2016

BREKING NEWZZZ LIGI KUU YANGA 2.-1 TOTO

Timu ya yanga  leo imeifunga timu ya TOTO African bao 2-1 ya mwanza katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom mchezo uliochezwa katika uwanja wa  ccm kirumba  toto ndio ya kwanza kupata bao katika kipindi cha kwanza  mpaka mapumziko toto iliongoza kipindi cha pili  Hamis Tambwe aliifungia bao la kusawazisha na Juma Abdul akaipatia bao la pili katika piga ni kupige 

katika uwanja wa Nyamagana Tanga timu ya African Sport ikicheza pungufu imeizamisha wapinzani wao wa jadi Coast Union kwa bao 1-0 bao lililofungwa katika kipindi cha pili 


Timu ya Mwadui imeifunga bao 2-1 Stand  united  na
Timu ya Prison  imetoka sare  jkt Ruvu  bao 1-1   Mtibwa imeifunga   Mbeya city bao 1-0
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu