RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, ameliapisha baraza lake la mawaziri Ikulu mjini Zanzibar Aprili 10, 2016 ambapo miongoni mwa waliokula kiapo ni pamoja na Hamad
Rashid, ambaye alishika nafasiya pilikwenye kinyang'anyiro cha kuwania
urais wa Zanzibar katika uchaguzi wa marudio. Wakati hayo yakijiri
hasimu mkuu wa CCM huko Zanzibar, Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na waandishi wa habarina kusisitiza kuwa hatambui ushindi wa Dkt. Shein na kwamba anaendelea na harakatizake za kutafuta "haki". Pichani Dkt. Shein akimuapisha Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo
na Uvuvi Mhe Hamad Rashid Mohamed. (Picha na Ikulu ya Zanzibar)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum
na Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi Mhe Siad Soud Said hafla hiyo imefanyika
katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Balozi Amina
Salum Ali Ikulu Zanzibar leo
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma
na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mhe Mohammed Aboud Mohammed.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum
za SMZ Mhe Haji Omar Kheri.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe Issa Haji Ussi Gavu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Mahmoud Thabit Kombo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe Balozi Ali
Abeid A.Karume.
Hamad Rashid
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Dk Khalid Salum
Mohammed.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana Wanawake na Watoto
Mhe Moudline Castico.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Mhe Rashid Ali
Juma
Mhe
Riziki Pembe Juma akielekea katika Jukwaa Kuu kwa ajili ya kula kiapo
cha Utii wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika Viwanja vya Ikulu
Zanzibar leo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki
Pembe Juma.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri wa Ardhi,Maji,Nishati na Mazingira Mhe Salama Aboud
Talib
Mhe Juma Ali Khatib akielekea katika Jukwaa maalum kwa ajili ya kula kiapo cha Utii kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum na Mjumbe wa Baraza la
Mapinduzi Mhe Juma Ali Khatib, hafla hiyo imefanyika katika Viwanja vya
Ikulu Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Harusi Said Suleiman.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Khamis Juma Maalim.
Mhe Juma Makungu Juma akielekea katika Jukwaa Maalum lililoandaliwa kwa ajili ya hafla ya kiapo cha Mawaziri Ikulu Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi
Mhe Lulu Msham Abdalla.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Zanzibar Mhe Mmanga Mjengo Mjawiri.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliani na Usafirishaji
Mhe Mohamed Ahmad Salum.
0 comments:
Post a Comment