Saturday, April 16, 2016

INAFRIKA BAND YAFANYA KWELI NASHVILLE, TENNESSEE

Wanamuziki wa bendi ya Inafrika toka Tanzania wakipata picha ya kumbukumbu Nashville jimbo la Tennessee ambapo wapo tangia March 18, 2016mpaka April 18, 2016 kwenye tamasha linaloandaliwa kila mwaka na Dolly Parton linalofanyika kwenye park iitwyo Dollywood iliyopo mjini humo. Tamasha hilo hushirikisha bendi mbalimbali kutoka mabara yote, Bara la Afrika liliwakilishwa na Inafrika Bendi kutoka Tanzania.
Wanamuziki wa Inafrika Bendi wakiwa katika picha ya pamoja na Dolly Parton.
Wanamuziki wa Inafrika wakipata picha ya kumbukumbu kwenye bango la Dollywood Park.
Picha ya pamoja
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu