KATIBU WA BUNGE AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA MKUTANO WA MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI
Mwenyekiti
wa kikao cha Makatibu wa Mabunge wa Afrika Mashariki Dkt. Thomas
Kashilila akiongoza kikao cha maandalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika
Mashariki leo jijini Arusha.
Mwenyekiti
wa kamati ya maadalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika Mashariki Dkt.
Thomas Kashilila (kushoto) akiongoza kikao hicho leo jijnii Arusha.
Kulia ni Katibu wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Bw. Keneth Madete.
Mkurugenzi
wa Uhusiano wa Kimataifa na Itifaki wa Bunge la Tanzania Jossey
Mwakasyuka (kushoto) akiwa na Msaidizi wa Katibu wa Bunge la Tanzania
ndugu Emmanuel Mpanda
Makatibu
wa Mabunge ya Afrika Mashariki wakitoka ukumbini baada ya ufunguzi wa
kikao cha maandalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika Mashariki leo
jijini Arusha.
Mwenyekiti
wa kikao cha Makatibu wa Mabunge wa Afrika Mashariki Dkt. Thomas
Kashilila (wa kwanza kulia) akiwa na baadhi ya Makatibu wa Mabunge ya
Afrika Mashariki wakiwa Jijini Arusha. Wa kwanza kushoto ni Katibu wa
Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Bw. Keneth Madete na Katibu wa Bunge la
Kenya Bw. Justine Bundi (katikati).
Makatibu
wa Mabunge ya Afrika Mashariki na Baadhi ya Maafisa wakiwa katika picha
ya pamoja baada ya ufunguzi wa kikao cha maandalizi ya mkutano wa
Maspika wa Afrika Mashariki leo jijini Arusha.
0 comments:
Post a Comment