Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Askofu Mkuu wa Jimbo
la Dodoma , Beatus Kinyaiya katika mazishi ya Askofu Mstaafu wa Dodoma Mathias
Isuja yaliyofanyika kwenye kanisa kuu la Mtakatifu Paul wa Msalaba Mjini Dodoma
Aprili 20, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa Askofu Mstaafu
wa Jimbo Kuu la Dodoma, Mathias Isuja katika mazishi yaliyofanyika kwenye
Kanisa Kuu la Mtakatifu Paul wa Msalaba Aprili 20, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la
Askofu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dodoma, Mathias Isuja katika mazishi
yaliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la Mtakatifu Paul wa Msalaba,
Aprili 20, 2016
0 comments:
Post a Comment