Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee
Ally Mtopa Ikulu jijini Dar es Salaam
Baadhi ya
Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitoa hotuba
yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwahutubia Wenyeviti, Makatibu wa Chama cha Mapinduzi wa
mikoa na Wilaya za Tanzania bara na Visiwani Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akisikiliza kwa makini taarifa zilizokuwa zikitolewa na
baadhi ya Wenyeviti na Makatibu wa CCM kutoka mikoa mbalimbali nchini. Kulia
kwake ni makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Philip
Mangula na Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli
Baadhi ya
Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitoa hotuba
yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment