Tuesday, April 26, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Lugimbana akizungumza na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM -UDOMASA), wakati wa mdahalo wa miaka 52 ya Muungano uliofanyika katika Ukumbi wa Chimwaga uliopo UDOM leo. Kulia ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Professa Idrissa Kikula. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mwenyekiti wa Jmuiya ya Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA), Mhadhiri Msaidizi, Edson Baradyana akitoa shukurani kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Lukimbana kwa kukubali kufungua kongamano hilo.
Baadhi ya wanachuo na wanataaluma wakishiriki kwenye kongamano hilo la miaka 52 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Jopo la wawezeshaji wa kongamano hilo





RC Rugimbana akizungumza jambo na Makamu Mkuu wa Chuo cha UDOM, Kikula kabla ya kuondoka. Kushoto ni Mwenyekiti wa Udomasa, Paradyana.
Rugimbana akiagana na wahadhiri wa Udom
Rugimbana akiteta jambo na Profesa Kikula
Wakiwa katika picha ya kumbukumbu

Mhadhili wa UDOM, Profesa Davis Mwanfupe akitoa mhadharakuhusu umuhimu wa wanataaluma kuuenzi Muungano

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu