Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mabingwa wa soka
wa mkoa wa Lindi , timu ya Namungo FC ya Ruangwa baada ya kukabidhiwa
kombe la ubingwa huo na kuzungumza nao kwenye uwanja wa michezo wa
Ruangwa akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi, Aprili 11, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na wanwake wa Ruangwa baada ya
kuzungumza nao kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu mjini Ruangwa
Aprili 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitembelea soko kuu la mji wa Ruangwa
kukagua hali ya chakula na bei zake Aprili 11, 2016. Alikuwa katika
ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majalaiwa akizungumza na Madaktari, Wauguzi na watumishi
wa hospitali ya wilaya ya Ruangwa Aprili 11, 2016. Kushoto ni Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na wapili kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa
Lindi, Mzee Mtopa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majalaiwa akizungumza baada ya kukabidhi
msaada wa shuka kwa wazazi wanaosubiri kujifungua na waliojifungua
kwenye hospitali ya wilaya ya Ruangwa Aprili 11, 2016. Kushoto ni
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na wapili kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa
mkoa Lindi, Mzee Mtopa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wanawake
wa Ruangwa wakimshangilia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakti
alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu mjini Ruangwa Aprili
11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment