Mmoja wa wananchi
wa kijiji cha Namahema wilayani Ruangwa (jina halikupatikana)
akimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati aipohutubia mkutano wa
hadhara kijijini hapo, Aprili 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri
Mkuu, KassimMajaliwa akisalimiana na wananchi baada ya kuwasili kwenye
kijiji cha Namahema wilayani Ruangwa kuhutubia mkutano wa hadhara Aprili
10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mwendesha pikipiki maarufu na hodari, Zaina Amour wa kijiji cha Nandagara wilayani Ruangwa Aprili 10, 2016. Alikuwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Namahema wilayani Ruangwa Aprili 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mwendesha pikipiki maarufu na hodari, Zaina Amour wa kijiji cha Nandagara wilayani Ruangwa Aprili 10, 2016. Alikuwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Namahema wilayani Ruangwa Aprili 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment